Habari Leo News

Ngajilo: Nitapanda meza bungeni kupigania huduma za kibingwa Iringa

Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amesema moja ya ajenda zake kuu bungeni itakuwa ni kuhakikisha huduma za kibingwa za magonjwa ya...

6 hours ago


Habari Leo News

Usalama wakwamisha wakimbizi DRC kurudi kwao

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema kuwa wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanaohifadhiwa kwenye kambi ya Nyarugusu wilayani ya Kasulu mkoani Kigoma hawataweza...

8 hours ago


Habari Leo News

RC Tanga awaonya waliopanga kuandamana

TANGA: MKUU wa Mkoa wa Tanga, Dk Batlida Burian ametoa onyo kuwa hawatosita kuwachukulia hatua kali za kisheri kwa mtu au kikundi kilichopanga kufanya uvunjufu wa amani katika kipindi hiki...

8 hours ago


Habari Leo News

Serukamba: Nitatekeleza ahadi zangu zote

KIGOMA: MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), Peter Serukamba amesema kuwa atatekeleza ahadi zake zote ndani ya miaka mitano za kuwaletea wananchi maendeleo katika jimbo...

10 hours ago


Habari Leo News

CCM yaja na mpango kuboresha barabara Moro

MOROGORO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuwa endapo kikipata ridhaa ya kuongoza tena miaka mitano ijayo, kitaanza kusuka upya miundombinu ya barabara mkoani Morogoro. Ujenzi huo utakuwa wa kiwango cha...

10 hours ago


Habari Leo News

CCM kuifanya hospitali ya Mkapa kuwa ya kimataifa

MOROGORO: Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Serikali ya CCM imepanga kuibadilisha Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma kuwa kituo bora cha kimataifa cha mafunzo, huduma...

10 hours ago


Taifa Leo News

Raila alijtambulisha na madhehebu tofauti

INGAWA Kanisa la Anglikana limepewa jukumu la kuongoza mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga, ukweli ni kwamba marehemu hakuwa akijitambulisha waziwazi na dhehebu hilo wakati wa maisha...

10 hours ago


Habari Leo News

Odinga bingwa wa demokrasia -Obama

KENYA: Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama amempongeza kiongozi wa muda mrefu wa upinzani nchini Kenya na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, akimtaja kama “bingwa wa kweli wa...

10 hours ago


Habari Leo News

Wakenya wafurika kuuaga mwili wa Odinga

KENYA: Maelfu ya wananchi wa Kenya wamejitokeza katika Uwanja wa Jomo Kenyatta, Mamboleo ulioko, Kaunti ya Kisumu, Kenya kuaga mwili wa Hayati Raila Odinga leo Oktoba 18, 2025. Raila Odinga...

11 hours ago


Habari Leo News

Omollo atoa wito wa amani Kenya

KENYA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Usalama wa Ndani ya Kenya, Raymond Omollo amewataka wananchi wa Kisumu na Wakenya kwa ujumla kudumisha amani katika kipindi hiki cha msiba wa Waziri...

11 hours ago


Load More...

Entertainment