Taifa Leo News

Wakenya sasa hatarini kupunjwa na walaghai kupitia akaunti za simu

MNAMO 2022, kundi moja la matapeli wa mtandaoni lilitekeleza ulaghai unaodaiwa kuwa mkubwa zaidi nchini Uingereza. Matapeli hao walitumia mtandao uliowawezesha kutumia nambari za simu za benki na taasisi za...

8 minutes ago


Taifa Leo News

Wito wa amani, umoja watawala Sikukuu ya Idd

MAELFU ya waumini wa Kiislamu walikusanyika katika misikiti na viwanja mbalimbali nchini kusherehekea sikukuu ya Eid-ul-Adha huku viongozi wa dini na serikali wakitoa wito wa amani, mshikamano na kuwajali wasiojiweza....

1 hour ago


CCM urges Tanzanians to reject divisive politics ahead of General Election

The ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), has called on Tanzanians to reject divisive politics as the nation prepares for the 2025 General Election

11 hours ago


Habari Leo News

Steve Nyerere achangia mil 3/- msiba mama wa Carina

DAR ES SALAAM: MWIGIZAJI Steven Mengele maarufu ‘Steve Nyerere’ ametembelea msibani kwa Fatma Maruzuku mama wa marehemu Hawa Carina aliyefariki dunia leo. Mama huyo amefariki ikiwa ni mwezi mmoja na...

12 hours ago


Taifa Leo News

ICC yakemea Amerika kwa kuwawekea majaji wake vikwazo

AMSTERDAM, UHOLANZI MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Ijumaa ilitangaza kukerwa na hatua ya serikali ya Rais Donald Trump kuwekea vikwazo majaji wanne wakuu wa korti hiyo.“Hizi ni juhudi za...

13 hours ago


Taifa Leo News

Ghana yaunga Morocco dhidi ya Algeria kwenye mzozo kuhusu Western Sahara

RABAT, MOROCCO GHANA imetangaza kuwa inaunga mkono mpango wa Morocco wa kusimamia Western Sahara lakini ifanye hivyo kwa kufuata mwongozo uliowekwa na Umoja wa Kitaifa (UN). Algeria imekuwa ikiunga mkono...

13 hours ago


Taifa Leo News

Musk akubali kusitisha cheche dhidi ya Trump

BILIONEA na mmliki wa mtandao wa X Elon Musk Ijumaa aliashiria kuwa angepunguza cheche kali kati yake na Rais wa Amerika Donald Trump baada ya wawili hao kukabiliana vikali hadharani...

13 hours ago


Taifa Leo News

Mwamko mpya kisiasa

RAIS wa Bunge la Mwananchi, Francis Awino, amezindua vuguvugu la Kenya Moja Coalition analosema linalenga kuwaunganisha Wakenya. Akizungumza Ijumaa Juni 6, 2025 wakati wa uzinduzi huo, Bw Awino alisema kuwa...

14 hours ago


Habari Leo News

Matawi sita ufufuo na uzima yafungiwa Mbeya

MBEYA: JESHI la Polisi mkoani Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyopo katika halmashauri sita za mkoa huo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

14 hours ago


Habari Leo News

RC Sawala: DC Nanyumbu ongeza juhudi utendaji kazi

MTWARA: MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Christopher Magala kuongeza juhudi ya utendaji kazi wa kuwatumikia wananchi katika wilaya hiyo. Rai hiyo...

14 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment