Habari Leo News

KATAVI: Zaidi ya wananchi 850 waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi mbalimbali wamepatiwa huduma za matibabu na uchunguzi wa afya bila malipo kupitia kambi maalumu ya afya iliyoendeshwa na Taasisi isiyo ya...

1 week ago


Taifa Leo News

TAHARIRI: Hii Bajeti mpya kamwe haiwezi kumkomboa mwananchi

WAZIRI wa Fedha, John Mbadi, aliwasilisha jana bajeti ya Sh4.82 trilioni ya mwaka wa kifedha wa 2026/27 huku serikali ikijivunia kuweka mikakati ya kuendeleza uchumi, kuboresha huduma za umma na...

2 weeks ago


Taifa Leo News

Hali zinazochangia ujauzito kuharibika

ALIPOPATA ujauzito wake wa kwanza, Phidilia Kibirisho Mwendwa na mumewe walikuwa na furaha tele. Walifanya maandalizi yote ya kumpokea kifungua mimba. Walimnunulia malaika huyu nguo, wakapanga tarehe ambayo angebatizwa kanisani...

2 weeks ago


Taifa Leo News

Amerika na Iran zaendeleza vita zikishikilia misimamo mikali

WASHINGTON, Amerika: AMERIKA na Iran jana ziliendeleza mashambulizi ya angani huku Rais Donald Trump akitishia kuwa Iran itavamiwa zaidi iwapo haitakubali kuingia kwenye muafaka wa amani ya kudumu. Duru zinaarifu...

2 weeks ago


Taifa Leo News

Tiketi ya Kalonzo-Sifuna 2027 yaanza kupikwa

JUHUDI za kuunda muungano thabiti unaoweza kupambana na Rais William Ruto katika uchaguzi wa 2027 zinaonekana kuingia hatua mpya, kufuatia taarifa za mazungumzo kati ya kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka...

2 weeks ago


Taifa Leo News

Uamuzi dhidi ya Gachagua sasa kero kwa Kindiki

UAMUZI wa Mahakama Kuu uliotolewa Jumatatu iliyopita wa kuthibitisha kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua Oktoba 2024, umeibua changamoto mpya ya kisiasa kwa Naibu Rais Kithure Kindiki, hasa...

2 weeks ago


Taifa Leo News

BAJETI 2026: Serikali yasita kuanzisha ushuru mpya

SERIKALI haitaanzisha ushuru mpya wala kuongeza viwango vya kodi katika bajeti ya mwaka wa kifedha utakaoanza Julai 2026. Waziri wa Fedha John Mbadi alisema badala yake serikali itazingatia kuongeza ufanisi...

2 weeks ago


Taifa Leo News

Bajeti ya madeni na ukopaji zaidi kuziba pengo la ukosefu wa fedha serikalini

SERIKALI inapanga kukopa zaidi ya Sh1 trilioni kufadhili bajeti ya mwaka wa kifedha ujao ya Sh4.8 trilioni, huku pengo la bajeti likikadiriwa kufikia takriban Sh1.1 trilioni, Waziri wa Fedha John...

2 weeks ago


Taifa Leo News

Wanahabari wa Nation Media wavamiwa na kuporwa Thika Road

WANAHABARI wa Nation Media Group (NMG) ambao walikuwa wakifuatilia maandamano ya bei za juu ya mafuta katika barabara ya Thika, jana walivamiwa na kuibiwa na wahuni. Gari ambalo lilikuwa na...

1 month ago


Taifa Leo News

Utu wa polisi waibuka wakimsaidia mlemavu aliyekwama kwenye maandamano

  Utu wa polisi umejitokeza kwa namna ya kipekee katikati ya maandamano yaliyotikisa mji wa Machakos, ambapo maafisa wa usalama walionekana wakimsaidia mwanaume mlemavu aliyekuwa amenaswa katika vurugu akielekea hospitalini. Tukio...

1 month ago


Load More...

Entertainment