Dar es Salaam. Prime Minister Mwigulu Nchemba yesterday commended the executive director of the Public-Private Partnership Centre (PPPC), Mr David Kafulila, for spearheading reforms and institutional changes since assuming leadership of the centre.
Tanzania could improve safety at remote airstrips without building conventional control towers if a locally developed digital aviation system receives regulatory approval.
KATAVI: Zaidi ya wananchi 850 waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi mbalimbali wamepatiwa huduma za matibabu na uchunguzi wa afya bila malipo kupitia kambi maalumu ya afya iliyoendeshwa na Taasisi isiyo ya...
WAZIRI wa Fedha, John Mbadi, aliwasilisha jana bajeti ya Sh4.82 trilioni ya mwaka wa kifedha wa 2026/27 huku serikali ikijivunia kuweka mikakati ya kuendeleza uchumi, kuboresha huduma za umma na...
ALIPOPATA ujauzito wake wa kwanza, Phidilia Kibirisho Mwendwa na mumewe walikuwa na furaha tele.
Walifanya maandalizi yote ya kumpokea kifungua mimba.
Walimnunulia malaika huyu nguo, wakapanga tarehe ambayo angebatizwa kanisani...
WASHINGTON, Amerika:
AMERIKA na Iran jana ziliendeleza mashambulizi ya angani huku Rais Donald Trump akitishia kuwa Iran itavamiwa zaidi iwapo haitakubali kuingia kwenye muafaka wa amani ya kudumu.
Duru zinaarifu...
JUHUDI za kuunda muungano thabiti unaoweza kupambana na Rais William Ruto katika uchaguzi wa 2027 zinaonekana kuingia hatua mpya, kufuatia taarifa za mazungumzo kati ya kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka...
UAMUZI wa Mahakama Kuu uliotolewa Jumatatu iliyopita wa kuthibitisha kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua Oktoba 2024, umeibua changamoto mpya ya kisiasa kwa Naibu Rais Kithure Kindiki, hasa...
SERIKALI haitaanzisha ushuru mpya wala kuongeza viwango vya kodi katika bajeti ya mwaka wa kifedha utakaoanza Julai 2026.
Waziri wa Fedha John Mbadi alisema badala yake serikali itazingatia kuongeza ufanisi...
SERIKALI inapanga kukopa zaidi ya Sh1 trilioni kufadhili bajeti ya mwaka wa kifedha ujao ya Sh4.8 trilioni, huku pengo la bajeti likikadiriwa kufikia takriban Sh1.1 trilioni, Waziri wa Fedha John...
WANAHABARI wa Nation Media Group (NMG) ambao walikuwa wakifuatilia maandamano ya bei za juu ya mafuta katika barabara ya Thika, jana walivamiwa na kuibiwa na wahuni.
Gari ambalo lilikuwa na...
Utu wa polisi umejitokeza kwa namna ya kipekee katikati ya maandamano yaliyotikisa mji wa Machakos, ambapo maafisa wa usalama walionekana wakimsaidia mwanaume mlemavu aliyekuwa amenaswa katika vurugu akielekea hospitalini.
Tukio...