Smartphone penetration increased to 39.53 percent, up from 36.75 percent in June 2025, while feature phone penetration grew to 86.53 percent from 84.97 percent in the same period.
President Hassan said her administration would prioritise improvements to road, rail, and water transport to boost cross-border trade and stimulate local economic growth.
Aga Khan Health Service Tanzania Chief Executive Officer, Mr Sisawo Konteh, said climate change, mental health, and gender equity have a profound impact on both family and national well-being.
Some members of the crowd surged forward to view Odinga's body, crushing mourners in the melee. Three people were shot dead by security forces a day earlier.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amesema moja ya ajenda zake kuu bungeni itakuwa ni kuhakikisha huduma za kibingwa za magonjwa ya...
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema kuwa wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanaohifadhiwa kwenye kambi ya Nyarugusu wilayani ya Kasulu mkoani Kigoma hawataweza...
TANGA: MKUU wa Mkoa wa Tanga, Dk Batlida Burian ametoa onyo kuwa hawatosita kuwachukulia hatua kali za kisheri kwa mtu au kikundi kilichopanga kufanya uvunjufu wa amani katika kipindi hiki...
KIGOMA: MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), Peter Serukamba amesema kuwa atatekeleza ahadi zake zote ndani ya miaka mitano za kuwaletea wananchi maendeleo katika jimbo...
MOROGORO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuwa endapo kikipata ridhaa ya kuongoza tena miaka mitano ijayo, kitaanza kusuka upya miundombinu ya barabara mkoani Morogoro. Ujenzi huo utakuwa wa kiwango cha...
MOROGORO: Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Serikali ya CCM imepanga kuibadilisha Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma kuwa kituo bora cha kimataifa cha mafunzo, huduma...
INGAWA Kanisa la Anglikana limepewa jukumu la kuongoza mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga, ukweli ni kwamba marehemu hakuwa akijitambulisha waziwazi na dhehebu hilo wakati wa maisha...
KENYA: Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama amempongeza kiongozi wa muda mrefu wa upinzani nchini Kenya na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, akimtaja kama “bingwa wa kweli wa...
KENYA: Maelfu ya wananchi wa Kenya wamejitokeza katika Uwanja wa Jomo Kenyatta, Mamboleo ulioko, Kaunti ya Kisumu, Kenya kuaga mwili wa Hayati Raila Odinga leo Oktoba 18, 2025. Raila Odinga...
KENYA: Katibu Mkuu wa Wizara ya Usalama wa Ndani ya Kenya, Raymond Omollo amewataka wananchi wa Kisumu na Wakenya kwa ujumla kudumisha amani katika kipindi hiki cha msiba wa Waziri...