Geographically, investment projects showed a clear concentration, with the majority (73 projects) located in the Dar es Salaam region, followed by the Coast region with 48 projects, and the Arusha region attracting 16 projects
A tour company based in Arusha, Tanzania Specialist, has developed a model to channel tourists’ spending directly to local communities in Tanzania’s northern tourist circuit.
MNAMO 2022, kundi moja la matapeli wa mtandaoni lilitekeleza ulaghai unaodaiwa kuwa mkubwa zaidi nchini Uingereza.
Matapeli hao walitumia mtandao uliowawezesha kutumia nambari za simu za benki na taasisi za...
MAELFU ya waumini wa Kiislamu walikusanyika katika misikiti na viwanja mbalimbali nchini kusherehekea sikukuu ya Eid-ul-Adha huku viongozi wa dini na serikali wakitoa wito wa amani, mshikamano na kuwajali wasiojiweza....
DAR ES SALAAM: MWIGIZAJI Steven Mengele maarufu ‘Steve Nyerere’ ametembelea msibani kwa Fatma Maruzuku mama wa marehemu Hawa Carina aliyefariki dunia leo. Mama huyo amefariki ikiwa ni mwezi mmoja na...
AMSTERDAM, UHOLANZI
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Ijumaa ilitangaza kukerwa na hatua ya serikali ya Rais Donald Trump kuwekea vikwazo majaji wanne wakuu wa korti hiyo.“Hizi ni juhudi za...
RABAT, MOROCCO
GHANA imetangaza kuwa inaunga mkono mpango wa Morocco wa kusimamia Western Sahara lakini ifanye hivyo kwa kufuata mwongozo uliowekwa na Umoja wa Kitaifa (UN).
Algeria imekuwa ikiunga mkono...
BILIONEA na mmliki wa mtandao wa X Elon Musk Ijumaa aliashiria kuwa angepunguza cheche kali kati yake na Rais wa Amerika Donald Trump baada ya wawili hao kukabiliana vikali hadharani...
RAIS wa Bunge la Mwananchi, Francis Awino, amezindua vuguvugu la Kenya Moja Coalition analosema linalenga kuwaunganisha Wakenya.
Akizungumza Ijumaa Juni 6, 2025 wakati wa uzinduzi huo, Bw Awino alisema kuwa...
MBEYA: JESHI la Polisi mkoani Mbeya limeyafungia matawi sita ya Kanisa la Ufufuo na Uzima yaliyopo katika halmashauri sita za mkoa huo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
MTWARA: MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Christopher Magala kuongeza juhudi ya utendaji kazi wa kuwatumikia wananchi katika wilaya hiyo. Rai hiyo...