Taifa Leo News

Ukiwasilisha kesi ya talaka kuwa tayari kuthibtisha mumeo au mkeo alitenda kosa

Talaka nchini Kenya hutegemea kuthibitisha kosa. Hii inamaanisha kwamba sheria inaruhusu kuvunjwa kwa ndoa ikiwa mtu anayeomba talaka ataweza kuthibitisha kuwa mwenzi wake ametenda kosa chini ya sharia ya  ndoa....

14 minutes ago


Taifa Leo News

Mapenzi si kwa mdomo tu, yawe na vitendo

WATU wanapenda kupendwa, lakini wengi hawataki kuwekeza kwenye uhusiano. Wanataka furaha ya kimapenzi, lakini hawataki kazi inayokuja nayo. Lakini ukweli ni huu: mapenzi bila ukaribu wa kweli ni sawa na...

2 hours ago


Taifa Leo News

Mbadi ateta Uhuru alimtupa Raila

Rais William Ruto alipokuwa akimtembeza mtangulizi wake Uhuru Kenyatta katika Ikulu Ijumaa, mjadala uliibuka kuhusu ikiwa rais huyo mstaafu bado ana ushawishi wa kisiasa wa kuathiri matokeo ya uchaguzi wa...

3 hours ago


Taifa Leo News

Mwaka mmoja wa baraka na laana ya SHA

Mwaka mmoja baada ya kuzinduliwa kwa Mamlaka ya Bima ya Afya ya Jamii (SHA), mageuzi makubwa ya huduma ya afya yaliyopangwa na serikali yako kwenye njia panda kati ya kufanikiwa...

4 hours ago


Taifa Leo News

Kenyatta alivyoandaa Moi kutwaa urais baada yake

DANIEL Toroitich arap Moi alizaliwa Septemba 2 mwaka wa 1924, katika kijiji cha Kurieng’wo, Sacho, wilayani Baringo (Kaunti ya Baringo kwa wakati huu). Alikuwa mwana wa tano wa mke wa...

5 hours ago


Taifa Leo News

ODM inavyojichimbia kaburi lake kisiasa

CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM), ambacho kwa muda mrefu kimekuwa nembo ya mapambano ya kisiasa na utetezi wa haki za wananchi, sasa kinaonekana kupoteza dira yake. Dalili za kulegea...

6 hours ago


Taifa Leo News

Hisia Uhuru na Ruto wanasuka kitu baada ya kukutana Ikulu

Mkutano wa Rais William Ruto na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Nairobi Ijumaa pamoja na matembezi yao pamoja umeibua hisia mseto huku ukizua mjadala kuhusu maana yake kisiasa...

17 hours ago


Habari Leo News

Barabara Kinyanambo Madibira yageuka kisu cha mgongoni kwa Kigahe

IRINGA: Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Mufindi Kaskazini wamemkaba kwa maswali Mbunge anayemaliza muda wake, Exaud Kigahe, wakitaka majibu ya kwanini barabara ya Kinyanambo–Madibira, iliyoahidiwa kujengwa...

21 hours ago


Habari Leo News

Ngupula: Ninajua ‘Password’ ya changamoto barabara Mufindi Kaskazini

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Ngupula, ameendelea na kampeni zake katika kata mbalimbali za jimbo hilo akiahidi kushughulikia changamoto ya barabara...

22 hours ago


Taifa Leo News

Sababu za Natembeya na Wamalwa kukoseshana usingizi chamani

Chama cha Democratic Action Party – Kenya (DAP-K) kimejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya viongozi wake wawili mashuhuri, Kiongozi wa Chama Eugene Wamalwa na Gavana wa Trans Nzoia George...

23 hours ago


Load More...

Entertainment