Taifa Leo News

MAONI: Demokrasia haifi kamwe, madikteta ndio hufariki

KWA Waganda wanaotishiwa na serikali yao kwamba itaangamiza upinzani kabisa, labda nchi yao isalie na chama kimoja pekee kinachoitawala, nawapa moyo kwa kuwakumbusha kuwa hata marehemu Rais John Magufuli wa...

3 days ago


Taifa Leo News

KINAYA: Tutaishi kushiriki vitimbi na sarakasi au tutajenga nchi?

NIMEKWAMBIA kwa muda sasa kwamba Kenya ni jukwaa kubwa la sarakasi na vituko, likiisha hili linaingia lile, na yote yanatishia kukutegua mbavu. Mara RAO alituacha serikalini hatutoki; mara tochi ya...

3 days ago


Taifa Leo News

Ghasia zinazozingira hafla za Gachagua zinaaibisha serikali

GHASIA ambazo zimekuwa zikishuhudiwa katika mawanda ya kisiasa zinavunja moyo na kuzua wasiwasi kuhusu usalama wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Wikendi, ghasia zilizuka katika Kanisa la Witima, eneobunge...

3 days ago


Habari Leo News

Tanzania, Korea kushirikiana teknolojia ya madini

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni utekelezaji wa Madini Vision 2030, imewezesha kuanzishwa kwa mradi wa ujenzi wa Kituo cha kisasa cha Teknolojia ya Madini pamoja na...

3 days ago


Taifa Leo News

Wanasiasa wa Taita-Taveta waonekana kumkimbilia Rais Ruto kuelekea 2027

VIONGOZI wa kisiasa wanaohudumu Kaunti ya Taita-Taveta, wamesalia kwenye njiapanda baada ya vyama vilivyowafadhili kuingia mamlakani na kupoteza umaarufu eneo hilo huku vikionekana kuegemea kwa uongozi wa Rais William Ruto....

3 days ago


Habari Leo News

Wawili waachiwa kesi uhujumu bil 5.7/-

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amesema hana nia ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa wawili kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ha...

3 days ago


Taifa Leo News

Mbadi azima mradi wa Benki ya Dunia Nyamira

GAVANA wa Nyamira Amos Nyaribo anaendelea kuandamwa na changamoto mpya baada ya Wizara ya Fedha kuzima utawala wake dhidi ya kutekeleza mradi wa tabianchi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia. Wizara...

3 days ago


Daily News News

CCM makes key appointments from Parliament

ZANIZIBAR: THE Central Committee of the National Executive Committee (NEC) of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) has made several appointments of party leadership candidates drawn from the Parliament of...

3 days ago


Habari Leo News

Maelfu wapata msaada saikolojia siku 100

SERIKALI imesema imeimarisha huduma za msaada wa saikolojia na unasihi katika siku 100 za uongozi wa kipindi cha pili cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita. Waziri wa Maendeleo...

3 days ago


Habari Leo News

Wanafunzi vyuo vikuu washauriwa lishe bora

MOROGORO: MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Morogoro, Lucy Kombani amewashauri wanafunzi wa vyuo vikuu kuzingatia ulaji wa vyakula vyenye lishe bora kwa ajili ya kujenga afya zao ili waepukane...

3 days ago


Load More...

Entertainment