Geographically, investment projects showed a clear concentration, with the majority (73 projects) located in the Dar es Salaam region, followed by the Coast region with 48 projects, and the Arusha region attracting 16 projects
A tour company based in Arusha, Tanzania Specialist, has developed a model to channel tourists’ spending directly to local communities in Tanzania’s northern tourist circuit.
Katika kipindi cha miaka minne, bajeti ya mikopo ya elimu imepanda kutoka shs bilioni 464 (2020/2021) hadi shs bilioni 787 (2024/2025). Kwa mwaka mpya wa masomo wa 2025/2026, bajeti iliyoidhinishwa...
SERIKALI imetangaza kuwa miongozo ya mikopo ya elimu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 itapatikana katika lugha za Kiingereza na Kiswahili kwenye tovuti za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (www.moe.go.tz*)...
MTWARA: MAOFISA ugani 569 mkoani Mtwara wanatarajia kupatiwa mafunzo kuhusu matumizi sahihi na salama ya viuatilifu vya zao la korosho katika msimu wa kilimo mwaka 2025/2026. Akizungumza kwa niaba ya...
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaendelea kutekeleza mikakati endelevu ili kuwapa fursa viongozi wapya na wabobezi kuonesha uwezo na ubunifu katika taasisi za elimu ya juu. Akizungumza...
DAR ES SALAAM: HUDUMA ya afya ya kinywa na meno nchini imeendelea kuimarika katika maeneo mbalimbali baada ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kupokea mashine mbili...
ARUSHA: SERIKALI imeanzisha mfumo wa kidigiti wa udhibiti ubora wa shule kwa viongozi wa elimu ili kuongeza ufanisi, uwazi, uwajibikaji na kuimarisha ukusanyaji, uchambuzi na utoaji wa mrejesho wa tathmini...
ARUSHA: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu ‘Vodacom’ na Taasisi ya Twaweza wamesaini mkataba wa makubaliano kuwezesha walimu kutoa mbinu kwa wanafunzi kwa ajili ya...
TUME ya Kuajiri Walimu (TSC) imemteua Eveleen Mitei kama Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji huku Dkt Nancy Macharia, ambaye anatazamiwa kustaafu Juni 30, 2025 akianza likizo yake.
Dkt Macharia alitangaza kuwa...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 03 ni mgeni rasmi katika jukwaa la vijana na mazingira linalofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Jukwaa hilo la vijana na mazingira lina...
WANAFUNZI wa Gredi ya Tisa watajiunga na shule za sekondari mwaka ujao kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa kuwasajili wanafunzi maarufu kama KEMIS.
Serikali imebuni mfumo huo wa kieletroniki...