Habari Leo Educational

Serikali yaongeza bajeti mikopo elimu ya juu

Katika kipindi cha miaka minne, bajeti ya mikopo ya elimu imepanda kutoka shs bilioni 464 (2020/2021) hadi shs bilioni 787 (2024/2025). Kwa mwaka mpya wa masomo wa 2025/2026, bajeti iliyoidhinishwa...

16 hours ago


Habari Leo Educational

Dirisha maombi elimu ya juu kufunguliwa Juni 15

SERIKALI imetangaza kuwa miongozo ya mikopo ya elimu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 itapatikana katika lugha za Kiingereza na Kiswahili kwenye tovuti za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (www.moe.go.tz*)...

17 hours ago


Habari Leo Educational

Maofisa ugani Mtwara kupewa elimu ya viuatilifu

MTWARA: MAOFISA ugani 569 mkoani Mtwara wanatarajia kupatiwa mafunzo kuhusu matumizi sahihi na salama ya viuatilifu vya zao la korosho katika msimu wa kilimo mwaka 2025/2026. Akizungumza kwa niaba ya...

19 hours ago


Habari Leo Educational

Serikali yaimarisha ubunifu, utafiti elimu ya juu

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaendelea kutekeleza mikakati endelevu ili kuwapa fursa viongozi wapya na wabobezi kuonesha uwezo na ubunifu katika taasisi za elimu ya juu. Akizungumza...

1 day ago


Habari Leo Educational

Viti kusaidia huduma afya kinywa na meno

DAR ES SALAAM: HUDUMA ya afya ya kinywa na meno nchini imeendelea kuimarika katika maeneo mbalimbali baada ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kupokea mashine mbili...

2 days ago


Habari Leo Educational

Mfumo kidigiti kudhibiti ubora wa shule

ARUSHA: SERIKALI imeanzisha mfumo wa kidigiti wa udhibiti ubora wa shule kwa viongozi wa elimu ili kuongeza ufanisi, uwazi, uwajibikaji na kuimarisha ukusanyaji, uchambuzi na utoaji wa mrejesho wa tathmini...

2 days ago


Habari Leo Educational

Wasaini mkabata kuongeza mbinu za ufaulu kwa wanafunzi

ARUSHA: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Kampuni ya  Simu ‘Vodacom’  na Taasisi ya Twaweza wamesaini mkataba wa makubaliano kuwezesha walimu kutoa mbinu kwa wanafunzi kwa ajili ya...

3 days ago


Taifa Leo Educational

Mageuzi mapya TSC

TUME ya Kuajiri Walimu (TSC) imemteua Eveleen Mitei kama Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji huku Dkt Nancy Macharia, ambaye anatazamiwa kustaafu Juni 30, 2025 akianza likizo yake. Dkt Macharia alitangaza kuwa...

3 days ago


Habari Leo Educational

Majaliwa mgeni rasmi Jukwaa la Vijana na Mazingira

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 03 ni mgeni rasmi katika jukwaa la vijana na mazingira linalofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Jukwaa hilo la vijana na mazingira lina...

3 days ago


Taifa Leo Educational

Serikali yatupa Nemis ya Uhuru, yazindua Kemis kusajili wanafunzi Gredi ya 9

WANAFUNZI wa Gredi ya Tisa watajiunga na shule za sekondari mwaka ujao kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa kuwasajili wanafunzi maarufu kama KEMIS. Serikali imebuni mfumo huo wa kieletroniki...

3 days ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment