Taifa Leo Educational

Kukabili ukatili miongoni mwa watoto

UKATILI wa wanafunzi kwa wenzao unaweza kutokea mahali popote, na kwa mtoto yeyote. Hata hivyo, kwa mujibu wa utafiti mpya, baadhi ya watoto wako katika hatari kubwa zaidi ya kudhulumiwa...

1 hour ago


Habari Leo Educational

GGML yajipanga afya ya uzazi shuleni

GEITA; KAMPUNI ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imeanza utekelezaji wa mpango wezeshi kufanikisha mazingira rafiki ya afya ya uzazi kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani...

1 day ago


Habari Leo Educational

Zingatieni sheria za kupiga kura – NEC

DAR-ES-SALAAM : TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kuzingatia sheria, kanuni na maelekezo ya Tume wakati...

3 days ago


Habari Leo Educational

Elimu ya unyonyeshaji yazaa matunda

DAR-ES-SALAAM : VIWANGO vya unyonyeshaji wa maziwa ya mama nchini Tanzania vinaendelea kuimarika, huku asilimia ya watoto wanaonyonyeshwa maziwa ya mama pekee ikiongezeka kutoka asilimia 58 mwaka 2018 hadi asilimia...

3 days ago


The Citizen Educational

Sugarcane farmers equipped with modern skills in Kilombero Valley

A total of 734 farmers from 17 Agricultural Marketing Cooperative Societies have successfully completed training under the Elimu Tija initiative, a programme spearheaded by the Kilombero Community Charitable Trust in...

6 days ago


Taifa Leo Educational

Ruto: Hatuna mpango wa kuvuruga Elimu

RAIS William Ruto amehakikishia Wakenya kwamba utawala wake unachukulia kwa uzito mkubwa ufadhili wa elimu bila malipo licha ya hofu ya mgao kwa shule kupunguzwa. Akizungumza Jumapili, Julai 27, 2025...

6 days ago


Taifa Leo Educational

Si kila kipindi cha watoto kwenye runinga ni kizuri

Wazazi wana mitazamo tofauti kuhusu watoto wao wadogo na utazamaji wa runinga. Huku baadhi ya wazazi wakikosa kuruhusu kabisa watoto wao kutazama runinga wakiwa na umri mdogo, wengine huwaruhusu watoto...

6 days ago


Habari Leo Educational

Vijana watakiwa kuchangamkia fursa elimu nje

ARUSHA: VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa za masomo nje ya nchi ili waweze kujiendeleza zaidi kielimu kupitia vyuo vikuu mbalimbali duniani. Akizungumza katika Maonesho ya Elimu ya Vyuo Vikuu nje ya...

1 week ago


Taifa Leo Educational

Wadau wa elimu wakasirishwa na kupunguzwa kwa mgao wa elimu

Wadau wa elimu wamekasirika vikali baada ya serikali kutangaza kuwa haiwezi kufadhili kikamilifu mpango wa elimu bila malipo, wakionya kuwa sekta ya elimu ya msingi nchini iko katika hatari kubwa...

1 week ago


Habari Leo Educational

PPP, REDET kufanya kongamano Dira 2050 Mwanza

MWANZA: Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (REDET) ya Chuo Kikuu cha...

1 week ago


Load More...

Entertainment