Habari Leo Educational

Wanafunzi wapigwa msasa elimu matumizi ya bima

DAR ES SALAAM: WADAU wa sekta ya bima nchini wameendelea kutoa elimu kwa wanafunzi kupitia mashindano ya “Bima Debate” yaliyoandaliwa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Bima...

1 month ago


Taifa Leo Educational

Shule zinavyokumbatia mapishi safi kuokoa mazingira na gharama

KWA muda mrefu, shule nyingi nchini Kenya zimekuwa zikitegemea kuni kuandaa chakula cha wanafunzi mfumo ambao hata ingawa ni maarufu umeendelea kuwa mzigo mkubwa kwa sababu ya gharama zake, changamoto...

1 month ago


Taifa Leo Educational

Serikali yakanusha wanafunzi wa Gredi 10 wanalala tu shuleni bila kusoma

SERIKALI imepuuzilia mbali madai kwamba hakuna masomo yanayoendelea katika Gredi ya 10 katika shule za upili baada ya kucheleweshwa kwa vitabu na changamoto nyingine zinazoshuhudiwa. Waziri wa Elimu Bw Julius...

5 months ago


Taifa Leo Educational

Shule ndogo za kibinafsi zashtua mabingwa wa miaka mingi

MATOKEO ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) 2025 yamefichua shule ndogo ambazo hazikujulikana sana awali, baada ya kupata wastani alama bora na kushinda shule zilizokuwa zikichukuliwa kama...

5 months ago


Taifa Leo Educational

Wanafunzi 230,000 waliojiunga na sekondari hawakufanya KCSE mwaka jana

JUMLA ya wanafunzi 232,281 waliofanya Mtihani wa Darasa la nane (KCPE) mwaka wa 2021 hawakufanya mtihani wa kidato cha nne (KCSE), kulingana na takwimu za hivi punde kutoka Wizara ya...

5 months ago


Daily News Educational

NECTA sees rise in Std 4 pass by 2.67, Form Two by 1.52 percent

DAR ES SALAAM: The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has announced the results of the National Assessment for Standard Four pupils, showing that the pass rate for Standard Four...

5 months ago


Taifa Leo Educational

Jaji Njoki Ndung’u achaguliwa kuwasilisha mahakama ya juu ya JSC

JAJI Njoki Ndung’u amechaguliwa kuwa mwakilishi wa Mahakama ya Juu katika tume ya kuajiri watumishi katika idara ya mahakama (JSC). Jaji Ndung’u alichaguliwa bila kupingwa mnamo Januari 9,2026 kutwaa mahala...

5 months ago


Taifa Leo Educational

KCSE 2025: Sababu ya wanafunzi wengi kufaulu kujiunga na vyuo vikuu

MABADILIKO katika kuhesabu alama za wastani kwa wanafunzi katika mtihani wa (KCSE yamesababisha ongezeko la wanafunzi waliopata alama bora, jambo linalofungua fursa zaidi za elimu ya juu na mafunzo ya...

5 months ago


Taifa Leo Educational

Kwa mwaka wa pili wasichana wengi wafanya KCSE kuliko wavulana

KWA mwaka wa pili mfululizo, idadi ya wasichana ilizidi wavulana katika Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE), jambo linaloonyesha mabadiliko ya kijamii na kielimu yanayoendelea kushuhudiwa nchini, hasa katika ushiriki...

5 months ago


Taifa Leo Educational

Ni kung’aa: Idadi ya waliozoa ‘A’ KCSE yaongezeka kuliko mwaka jana

IDADI ya watahiniwa waliopata alama ‘A’ katika mtihani wa Kidato cha Nne Kenya (KCSE) mwaka 2025 imeongezeka, kulingana na takwimu zilizotolewa na Wizara ya Elimu Januari 9, 2026. Ongezeko hilo...

5 months ago


Load More...

Entertainment