Taifa Leo Educational

Serikali yakanusha wanafunzi wa Gredi 10 wanalala tu shuleni bila kusoma

SERIKALI imepuuzilia mbali madai kwamba hakuna masomo yanayoendelea katika Gredi ya 10 katika shule za upili baada ya kucheleweshwa kwa vitabu na changamoto nyingine zinazoshuhudiwa. Waziri wa Elimu Bw Julius...

3 days ago


Taifa Leo Educational

Shule ndogo za kibinafsi zashtua mabingwa wa miaka mingi

MATOKEO ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) 2025 yamefichua shule ndogo ambazo hazikujulikana sana awali, baada ya kupata wastani alama bora na kushinda shule zilizokuwa zikichukuliwa kama...

2 weeks ago


Taifa Leo Educational

Wanafunzi 230,000 waliojiunga na sekondari hawakufanya KCSE mwaka jana

JUMLA ya wanafunzi 232,281 waliofanya Mtihani wa Darasa la nane (KCPE) mwaka wa 2021 hawakufanya mtihani wa kidato cha nne (KCSE), kulingana na takwimu za hivi punde kutoka Wizara ya...

2 weeks ago


Daily News Educational

NECTA sees rise in Std 4 pass by 2.67, Form Two by 1.52 percent

DAR ES SALAAM: The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has announced the results of the National Assessment for Standard Four pupils, showing that the pass rate for Standard Four...

2 weeks ago


Taifa Leo Educational

Jaji Njoki Ndung’u achaguliwa kuwasilisha mahakama ya juu ya JSC

JAJI Njoki Ndung’u amechaguliwa kuwa mwakilishi wa Mahakama ya Juu katika tume ya kuajiri watumishi katika idara ya mahakama (JSC). Jaji Ndung’u alichaguliwa bila kupingwa mnamo Januari 9,2026 kutwaa mahala...

2 weeks ago


Taifa Leo Educational

KCSE 2025: Sababu ya wanafunzi wengi kufaulu kujiunga na vyuo vikuu

MABADILIKO katika kuhesabu alama za wastani kwa wanafunzi katika mtihani wa (KCSE yamesababisha ongezeko la wanafunzi waliopata alama bora, jambo linalofungua fursa zaidi za elimu ya juu na mafunzo ya...

2 weeks ago


Taifa Leo Educational

Kwa mwaka wa pili wasichana wengi wafanya KCSE kuliko wavulana

KWA mwaka wa pili mfululizo, idadi ya wasichana ilizidi wavulana katika Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE), jambo linaloonyesha mabadiliko ya kijamii na kielimu yanayoendelea kushuhudiwa nchini, hasa katika ushiriki...

2 weeks ago


Taifa Leo Educational

Ni kung’aa: Idadi ya waliozoa ‘A’ KCSE yaongezeka kuliko mwaka jana

IDADI ya watahiniwa waliopata alama ‘A’ katika mtihani wa Kidato cha Nne Kenya (KCSE) mwaka 2025 imeongezeka, kulingana na takwimu zilizotolewa na Wizara ya Elimu Januari 9, 2026. Ongezeko hilo...

2 weeks ago


Habari Leo Educational

Nyang’hwale mguu sawa kupokea kidato cha kwanza

GEITA: HALMASHAURI ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imeweka wazi kuwa imeandaa miundombinu inayotosheleza kupokea wanafunzi 3,056 wa kidato cha kwanza mwaka 2026. Ofisa Elimu Sekondari wilayani Nyang’hwale, Malemu Tito...

2 weeks ago


Habari Leo Educational

Mtwara Mikindani wazawadia Shule zilizong’ara 2025

MTWARA; MANISPAA ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara imetoa zawadi kwa shule 15 za msingi zilizofanya vizuri matokeo ya darasa la saba mwaka 2025. Tukio hilo limefanyika wakati wa kikao kazi...

2 weeks ago


Load More...

Entertainment