Dar es Salaam. Prime Minister Mwigulu Nchemba yesterday commended the executive director of the Public-Private Partnership Centre (PPPC), Mr David Kafulila, for spearheading reforms and institutional changes since assuming leadership of the centre.
Tanzania could improve safety at remote airstrips without building conventional control towers if a locally developed digital aviation system receives regulatory approval.
DAR ES SALAAM: WADAU wa sekta ya bima nchini wameendelea kutoa elimu kwa wanafunzi kupitia mashindano ya “Bima Debate” yaliyoandaliwa ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Bima...
KWA muda mrefu, shule nyingi nchini Kenya zimekuwa zikitegemea kuni kuandaa chakula cha wanafunzi mfumo ambao hata ingawa ni maarufu umeendelea kuwa mzigo mkubwa kwa sababu ya gharama zake, changamoto...
SERIKALI imepuuzilia mbali madai kwamba hakuna masomo yanayoendelea katika Gredi ya 10 katika shule za upili baada ya kucheleweshwa kwa vitabu na changamoto nyingine zinazoshuhudiwa.
Waziri wa Elimu Bw Julius...
MATOKEO ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) 2025 yamefichua shule ndogo ambazo hazikujulikana sana awali, baada ya kupata wastani alama bora na kushinda shule zilizokuwa zikichukuliwa kama...
JUMLA ya wanafunzi 232,281 waliofanya Mtihani wa Darasa la nane (KCPE) mwaka wa 2021 hawakufanya mtihani wa kidato cha nne (KCSE), kulingana na takwimu za hivi punde kutoka Wizara ya...
DAR ES SALAAM: The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has announced the results of the National Assessment for Standard Four pupils, showing that the pass rate for Standard Four...
JAJI Njoki Ndung’u amechaguliwa kuwa mwakilishi wa Mahakama ya Juu katika tume ya kuajiri watumishi katika idara ya mahakama (JSC).
Jaji Ndung’u alichaguliwa bila kupingwa mnamo Januari 9,2026 kutwaa mahala...
MABADILIKO katika kuhesabu alama za wastani kwa wanafunzi katika mtihani wa (KCSE yamesababisha ongezeko la wanafunzi waliopata alama bora, jambo linalofungua fursa zaidi za elimu ya juu na mafunzo ya...
KWA mwaka wa pili mfululizo, idadi ya wasichana ilizidi wavulana katika Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE), jambo linaloonyesha mabadiliko ya kijamii na kielimu yanayoendelea kushuhudiwa nchini, hasa katika ushiriki...
IDADI ya watahiniwa waliopata alama ‘A’ katika mtihani wa Kidato cha Nne Kenya (KCSE) mwaka 2025 imeongezeka, kulingana na takwimu zilizotolewa na Wizara ya Elimu Januari 9, 2026.
Ongezeko hilo...