Taifa Leo Educational

Ibada ya Mazishi kuanzia Jumapili saa tatu chuoni JOOUST, Bondo

KAMATI ya Kitaifa ya Kuandaa Mazishi imetangaza kuwa ibada ya mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga itafanyika kuanzia saa tatu asubuhi Jumapili katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia...

4 hours ago


Habari Leo Educational

Dk Samia aandika historia DUCE

Ni wazi sasa — historia ya elimu ya juu nchini Tanzania inaandikwa upya katika ardhi ya Chuo Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE). Wakati majengo makubwa yakipanda kama ishara...

14 hours ago


Habari Leo Educational

SUA yapata miradi 36 ya bil 10.5/-

MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA ) kimeeleza kuwa hadi kufikia Oktoba mwaka huu, miradi mipya ya utafiti 36 yenye thamani ya Sh bilioni 10.5 imepatikana. Kati ya...

1 day ago


Habari Leo Educational

SUA yapata miradi 36 yenye thamani ya Bilioni10.5

CHUO  Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA ) kimeeleza kuwa hadi kufikia Oktoba mwaka huu  miradi mipya ya utafiti 36 yenye thamani ya sh bilioni 10.5 imepatikana. Kati ya miradi...

1 day ago


Habari Leo Educational

TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia

TAASISI ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi, wakulima na wadau wa sekta ya kilimo kuhusu utambuzi wa mbegu bora, taratibu za usajili wa...

2 days ago


Habari Leo Educational

PURA yaweka msisitizo elimu miradi kwa wananchi

MTWARA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeelekeza nguvu zake katika utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu miradi inayotarajiwa kutekelezwa kwa lengo la kuifanya kuwa na ufanisi...

2 days ago


Habari Leo Educational

Nyagawa awapa motisha wahitimu wa Lugalo Sekondari

IRINGA: Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa, Charles Nyagawa, amewataka wahitimu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Lugalo kutanguliza Mungu katika masomo na maisha...

2 weeks ago


Habari Leo Educational

Vipaumbele 10 vya CHAUMMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

UBWABWA kwa wote, kilimo kwanza na nishati safi ndiyo baadhi ya ahadi zinazobeba ilani ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Katika kampeni...

1 month ago


Taifa Leo Educational

Walimu walio na digrii wazimwa kufundisha JSS

MAMIA ya walimu wa shule za msingi waliotuma maombi ya kuteuliwa kufunza katika shule za Sekondari ya Msingi (JSS) wamezuiwa kufuatia tangazo la Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) iliyoweka masharti...

1 month ago


Taifa Leo Educational

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

WAPENZI wa Kiswahili nchini na kanda nzima ya Afrika Mashariki wanaomboleza kifo cha msomi na mwandishi Profesa John Hamu Habwe ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 62. Profesa Habwe...

2 months ago


Load More...

Entertainment