Mwanaspoti Sports

5000 kuliamsha Nyerere International Marathon

WANARIADHa 5000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kuchuana katika mbio za kimataifa za Mwalimu Julius Nyerere zinazotarajia kufanyika jijini Mbeya.

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Kocha Burkina Faso aanza visingizio

BAADA ya Burkina Faso kuchapwa mabao 2-0 na Tanzania katika mechi ya ufunguzi ya CHAN, kocha wa timu hiyo, Issa Balbone amesema sababu kubwa ni kuchelewa kufika Dar es Salaam.

2 hours ago


Mwanaspoti Sports

Ushindi wa Stars wampa Morocco matumaini kibao

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman 'Morocco', amesema ushindi wa kwanza wa timu hiyo wa michuano ya CHAN umetoa mwanga mkubwa wa kikosi hicho kufanya vizuri zaidi.

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

Fei Toto: Watanzania wamefurahi

KIUNGO mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Feisal Salum 'Fei Toto' amesema ni fahari kwa kikosi hicho kuanza vyema fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa...

13 hours ago


Habari Leo Sports

Taifa Stars yaanza kwa kishindo CHAN

DAR ES SALAAM; TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars ‘ imeanza vyema michuano ya Kombe la CHAN 2024 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina...

14 hours ago


Mwanaspoti Sports

Stars yaanza kibabe Chan 2024, yaichapa Burkina Faso 2-0

TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars, imeanza vyema Fainali za Ubingwa wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani CHAN, baada ya kuichapa Burkina Faso mabao 2-0.

14 hours ago


Mwanaspoti Sports

Kocha mpya Yanga ashuhudia mavitu ya Mzize Stars

KOCHA mpya wa Yanga, Romain Folz ni miongoni mwa watu waliofika katika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mchezo wa ufunguzi kati ya Tanzania na Burkina Faso katika ufunguzi wa mashindano ya...

14 hours ago


Vanguard News Sports

I used to hawk Olive oil, Zobo at MFM — Super Falcons’ Ajibade

The Atletico Madrid forward captained Nigeria to its 10th Women’s Africa Cup of Nations (WAFCON) title in Morocco. The post I used to hawk Olive oil, Zobo at MFM —...

15 hours ago


Mwanaspoti Sports

Rayvanny aibua shangwe ufunguzi CHAN 2024

DAKIKA chache kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina Faso uliofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rayvanny ameibua shangwe kwa...

15 hours ago


Vanguard News Sports

Photos: Rasheedat Ajibade presents WAFCON medal, awards to Pastor Olukoya, wife

Ajibade, who won three Woman of the Match awards at the just-concluded WAFCON, was named the Player of the Tournament. The post Photos: Rasheedat Ajibade presents WAFCON medal, awards to...

16 hours ago


Load More...

Trending on YouTube


Job Vacancies





Entertainment