Taifa Leo Sports

Man United huenda ikakosa huduma za tegemeo Mazraoui dhidi ya Liverpool

Manchester United huenda wakamkosa difenda Noussair Mazraoui kwenye mchezo muhimu dhidi ya mabingwa watetezi Liverpool ugani Anfield hapo Oktoba 19, 2025. Vijana hao wa kocha Ruben Amorim walipepeta Sunderland 2-0...

58 minutes ago


Taifa Leo Sports

Rais wa Burkina Faso alia timu yake ya taifa kufungiwa nje na Nigeria kuwania tiketi ya Kombe la Dunia 2026

RAIS wa Burkina Faso na shabiki mkubwa wa soka, Ibrahim Traore, anataka majibu kutoka kwa Shirikisho la Soka la Bara Afrika (CAF) kuhusu jinsi nchi yake ilivyobanduliwa kushiriki mechi za...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

KOCHA Mkuu wa KMKM, Hababuu Ali, amesema licha ya kupoteza mechi ya kwanza kwa kuchapwa mabao 2-0 dhidi ya Azam, ila hajakata tamaa wakati miamba hiyo itakaporudiana Oktoba 24, 2025...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

LICHA ya Azam kushinda mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya KMKM, ila kocha wa timu hiyo raia wa DR...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Folz afunguka, ataja sababu kufungwa na Silver Strikers

KOCHA Mkuu wa Yanga, Romain Folz, amezungumzia kwa uchache sababu ya kipigo cha bao 1-0 ilichopokea timu hiyo leo Oktoba 18, 2025 kutoka kwa Silver Strikers huku kubwa zaidi akisema...

2 hours ago


Vanguard News Sports

EPL: Trossard sinks Fulham as leaders Arsenal go three points clear

Arsenal moved three points clear at the top of the Premier League as Leandro Trossard sealed a 1-0 win against Fulham on Saturday. The post EPL: Trossard sinks Fulham as...

2 hours ago


Habari Leo Sports

Kocha Yanga afukuzwa usiku

DAR ES SALAAM; MUDA mfupi baada ya Yanga kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Silver Strikers ya Malawi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliomalizika jioni hii nchini Malawi,...

2 hours ago


Mwanaspoti Sports

Yanga yamvunjia mkataba Folz, Mabedi achukua mikoba

Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja rasmi mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Romain Folz, ambaye amejiunga na timu hiyo mwanzo wa msimu.

3 hours ago


Habari Leo Sports

Yanga yatota Malawi

MALAWI; Yanga ya Dar es Salaam imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika leo nchini Malawi. Yanga ili...

3 hours ago


Mwanaspoti Sports

Laizer alia na kiungo Fountain Gate

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema huu ni mwanzo mzuri kwa timu hiyo kupata ushindi nyumbani, licha ya kuwa kikosi hicho bado kuna maeneo yanavuja ikiwemo nafasi ya...

4 hours ago


Load More...

Trending on YouTube


Job Vacancies





Entertainment