Ouma aiona robo fainali Shirikisho
BAADA ya kuambulia pointi tatu nyumbani dhidi ya AS Otoho, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema anaiona nafasi ya timu hiyo kuendelea kuandika historia kwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.