Ouma aiona robo fainali Shirikisho

Mwanaspoti
Published: Jan 26, 2026 14:19:15 EAT   |  Sports

BAADA ya kuambulia pointi tatu nyumbani dhidi ya AS Otoho, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema anaiona nafasi ya timu hiyo kuendelea kuandika historia kwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.