Mwanaspoti Sports

Coastal Union, TRA United zashindwa kutambiana Mkwakwani

TIMU za Coastal Union na TRA United, zimeshindwa kutambiana katika mechi kali na ya kuvutia ya raundi ya tatu ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2026-2027, baada ya miamba hiyo...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Yanga yarejea kileleni ikiipiga JKT Tanzania 4-0

YANGA imeendeleza ubabe dhidi ya JKT Tanzania ikiichapa mabao 4-0, huku mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara wakiendeleza mwanzo bora wa msimu wa 2026-2027.

3 hours ago


Habari Leo News

Tanzania yataka uwekezaji ardhi iliyoharibika

TANZANIA imeitaka jumuiya ya kimataifa kuongeza uwekezaji, teknolojia na rasilimali fedha kwa ajili ya kurejesha ardhi iliyoharibika na kukabiliana na kuenea kwa hali ya jangwa na ukame, huku ikisisitiza umuhimu...

3 hours ago


Taifa Leo News

Ida aidhinisha Raila Jnr kugombea ubunge Kibra 2027

MJANE wa aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, Ida Odinga, amemuidhinisha mwanawe Raila Junior kuwania kiti cha ubunge Kibra katika uchaguzi mkuu wa 2027. Mama Ida alitoa kauli hiyo Jumatatu alipokuwa...

3 hours ago


Habari Leo News

Iringa yajipanga matumizi mbegu bora

IRINGA: WAKULIMA mkoani Iringa wamehimizwa kutumia mbegu bora na zilizoidhinishwa ili kuongeza tija na uzalishaji wa mazao, huku Serikali ikiimarisha mikakati ya kudhibiti mbegu bandia na kuwawezesha wakulima kupata pembejeo...

3 hours ago


Taifa Leo News

Serikali yapunguza bei ya mbolea na mbegu za mahindi kuokoa wakulima Bonde la Ufa

SERIKALI imepunguza zaidi bei ya mbolea na mbegu za mahindi katika juhudi za kuwasaidia wakulima wa Bonde la Ufa waliopata hasara kutokana na ukame. Bei ya mfuko wa kilo 50...

5 hours ago


Daily News Technology

Tanzania calls for increased financial resources in protecting grazing areas, forests, water sources

ULAANBAATAR: TANZANIA has called for increased international investment, technology and financial resources to restore degraded land and combat desertification and drought, stressing the need to protect grazing areas, forests and...

5 hours ago


Habari Leo News

Upanuzi Uwanja wa Ndege Musoma wafikia asilimia 70

MUSOMA: SERIKALI imefikia asilimia 70 ya utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege Musoma mkoani Mara, unaogharimu Sh bilioni 36.3, huku ikielezwa kuwa ujenzi huo upo...

5 hours ago


Daily News General

Tanzania, ADDI explore strategies to enable African diaspora to support development initiatives

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has held talks with the President of the African Diaspora Development Institute (ADDI), Ambassador Arikana Chihombori-Quao, focusing on strengthening cooperation between Tanzania, the...

6 hours ago


Daily News Technology

PM directs authorities to advance the Tanzanian innovations to productive commercialization

TANGA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has directed the Ministry of Education, Science and Technology and its institutions to ensure innovations developed by Tanzanians move beyond exhibitions to production and commercialisation...

6 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment