Taifa Leo News

Wantam: Sifuna atua Meru kwa kishindo!

SIKU chache baada ya kukumbwa na ghasia zilizosababisha vifo katika Kaunti ya Homa Bay, viongozi wa vuguvugu la Linda Mwananchi jana walijipigia debe katika Kaunti ya Meru wakisema hakuna kiwango...

18 minutes ago


Taifa Leo News

Mchujo ODM: Kivumbi 5 kutoka familia ya Odinga wakilenga nyadhifa mbalimbali 2027

ODM inakabiliwa na mtihani mgumu katika uteuzi wa 2027 huku wanachama wa familia ya Odinga wakijitokeza kuwania nyadhifa mbalimbali, hali inayotarajiwa kuzua ushindani mkali ndani ya chama. Kuingia kwa Raila...

1 hour ago


Tanzania Times Jobs and Career

Girls outperform boys in school and then the gap reverses. The Human Capital Index explains why

A worker with 30 years of experience in a wage job is roughly two and a half times as productive as someone just starting out, a gain roughly equivalent to...

7 hours ago


Tanzania Times Business

What is Next for Africa’s Integration Agenda? New Report advice shift from trade links to production hubs

That is connecting production across borders, reducing trade and regulatory frictions, strengthening implementation of regional agreements, and delivering the infrastructure, services, and jobs that regional markets need.

8 hours ago


Tanzania Times General

Korea teaches Rwanda how to eat the industrial cake and still have it intact, plus very green

When Waste Becomes a Competitive Advantage: Rwanda is now Exploring South Korea's Green Industrial Model

9 hours ago


Taifa Leo News

Nimepunguza kasi ya madeni, asema Ruto

RAIS William Ruto ametetea vikali rekodi ya serikali yake kuhusu deni la taifa, akisema Kenya imefanikiwa kupunguza kasi ya kukopa ikilinganishwa na tawala mbili zilizotangulia. Kwa mujibu wa Rais, kipimo...

11 hours ago


Taifa Leo News

Taharuki fupi ya vitoa machozi mkutano wa Linda Mwananchi Meru vijana wakisaidiana kuzima

TAHARUKI ilitanda kwa muda mfupi eneo la Makutano, Meru wakati mwanamume anayeaminika kuwa afisa wa polisi aliporusha gesi ya kutoa machozi kwa mkutano wa Linda Mwananchi. Hata hivyo umati ulizima...

12 hours ago


Taifa Leo News

Wataalamu 12 waanza kuandaa manifesto ya UDA-ODM kuelekea 2027

KAMATI ya wataalamu walioteuliwa kuandaa mwongozo wa kisiasa na manifesto ya pamoja ya vyama vya UDA na ODM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027 imeanza kazi rasmi huku ikipanga kufanya mashauriano...

12 hours ago


Taifa Leo News

Kuria ‘atabiri’ kuhusu atakayeapishwa kuwa rais 2027

ALIYEKUWA Waziri Moses Kuria ameibua mjadala kuhusu uchaguzi wa urais wa 2027 baada ya kutoa kauli tata kuhusu atakayeapishwa kuwa rais baada ya uchaguzi huo. Kuria, ambaye ni kiongozi wa...

13 hours ago


Mwanaspoti Sports

Manqoba awataja wawili Yanga

Soma zaidi hapa

13 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment