MAKETE: Zaidi ya vijana 160 wa Wilaya ya Makete walionufaika na msaada wa mbolea bure kutoka kwa Mamlaka ya Udhibiti Mbolea (TFRA) wameanza kufurahia matunda ya mtaji waliouomba kutoka serikalini....
DODOMA :Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya vipimo nchini ili kuongeza ushindani wa bidhaa za ndani katika soko la kimataifa, kukuza viwanda na kujenga uchumi wa kisasa unaotegemea sayansi na teknolojia....
MTWARA: TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara imefanikisha malipo ya Sh milioni 87.3 za serikali katika sekta binafsi na umma. Yamejiri hayo leo Mei 20, 2026...