International Highlights Show All 
Taifa Leo Sports

Man United huenda ikakosa huduma za tegemeo Mazraoui dhidi ya Liverpool

Manchester United huenda wakamkosa difenda Noussair Mazraoui kwenye mchezo muhimu dhidi ya mabingwa watetezi Liverpool ugani Anfield hapo Oktoba 19, 2025. Vijana hao wa kocha Ruben Amorim walipepeta Sunderland 2-0...

59 minutes ago


Taifa Leo Sports

Rais wa Burkina Faso alia timu yake ya taifa kufungiwa nje na Nigeria kuwania tiketi ya Kombe la Dunia 2026

RAIS wa Burkina Faso na shabiki mkubwa wa soka, Ibrahim Traore, anataka majibu kutoka kwa Shirikisho la Soka la Bara Afrika (CAF) kuhusu jinsi nchi yake ilivyobanduliwa kushiriki mechi za...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

KOCHA Mkuu wa KMKM, Hababuu Ali, amesema licha ya kupoteza mechi ya kwanza kwa kuchapwa mabao 2-0 dhidi ya Azam, ila hajakata tamaa wakati miamba hiyo itakaporudiana Oktoba 24, 2025...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Ibenge awakomalia mastaa Azam FC

LICHA ya Azam kushinda mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya KMKM, ila kocha wa timu hiyo raia wa DR...

1 hour ago


Mwanaspoti Sports

Folz afunguka, ataja sababu kufungwa na Silver Strikers

KOCHA Mkuu wa Yanga, Romain Folz, amezungumzia kwa uchache sababu ya kipigo cha bao 1-0 ilichopokea timu hiyo leo Oktoba 18, 2025 kutoka kwa Silver Strikers huku kubwa zaidi akisema...

2 hours ago


Tanzania Times General

Woman killed after a Fire Extinguisher Cylinder explodes in scrap metal shack

Suddenly the entire top mechanism flew off the fire extinguisher, upon impact, which means the cylinder could have still been filled with the CO2 compressed gas.

2 hours ago


Habari Leo Sports

Kocha Yanga afukuzwa usiku

DAR ES SALAAM; MUDA mfupi baada ya Yanga kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Silver Strikers ya Malawi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliomalizika jioni hii nchini Malawi,...

2 hours ago


Mwanaspoti Sports

Yanga yamvunjia mkataba Folz, Mabedi achukua mikoba

Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja rasmi mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Romain Folz, ambaye amejiunga na timu hiyo mwanzo wa msimu.

3 hours ago


The Citizen General

Digital economy boost as Tanzania hits 98pc network coverage

Smartphone penetration increased to 39.53 percent, up from 36.75 percent in June 2025, while feature phone penetration grew to 86.53 percent from 84.97 percent in the same period.

3 hours ago


The Citizen Business

Samia unveils plan to make Katavi a trade gateway to DRC

President Hassan said her administration would prioritise improvements to road, rail, and water transport to boost cross-border trade and stimulate local economic growth.

3 hours ago


Load More...

Entertainment