Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

KOCHA Mkuu wa KMKM, Hababuu Ali, amesema licha ya kupoteza mechi ya kwanza kwa kuchapwa mabao 2-0 dhidi ya Azam, ila hajakata tamaa wakati miamba hiyo itakaporudiana Oktoba 24, 2025 kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.