Kocha KMKM ajipa matumaini Chamazi

Mwanaspoti
Published: Oct 18, 2025 20:14:17 EAT   |  Sports

KOCHA Mkuu wa KMKM, Hababuu Ali, amesema licha ya kupoteza mechi ya kwanza kwa kuchapwa mabao 2-0 dhidi ya Azam, ila hajakata tamaa wakati miamba hiyo itakaporudiana Oktoba 24, 2025 kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.