Yanga yatota Malawi

Habari Leo
Published: Oct 18, 2025 17:55:40 EAT   |  Sports

MALAWI; Yanga ya Dar es Salaam imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika leo nchini Malawi. Yanga ili isonge mbele na kutinga hatua ya makundi italazimika kushinda kuanzia mabao 2-0 katika mchezo wa marudiano wiki ijayo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. …

The post Yanga yatota Malawi first appeared on HabariLeo.

MALAWI; Yanga ya Dar es Salaam imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Silver Strikers ya Malawi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika leo nchini Malawi.

Yanga ili isonge mbele na kutinga hatua ya makundi italazimika kushinda kuanzia mabao 2-0 katika mchezo wa marudiano wiki ijayo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Yanga).

The post Yanga yatota Malawi first appeared on HabariLeo.