Yanga yarejea kileleni ikiipiga JKT Tanzania 4-0

Mwanaspoti
Published: Aug 24, 2026 17:46:21 EAT   |  Sports

YANGA imeendeleza ubabe dhidi ya JKT Tanzania ikiichapa mabao 4-0, huku mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara wakiendeleza mwanzo bora wa msimu wa 2026-2027.