Yanga yaitupa nje Gaborone United, Shalulile, Toure waking’aa
Yanga imetumia vyema faida ya kucheza nyumbani, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1, dhidi ya Gaborone United ya Botswana, katika mechi ya marudiano ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika iliyochezwa leo Jumamosi, Septemba 12, 2026.