Yanga yaishusha Simba, ikijipigia Coastal Union

Mwanaspoti
Published: Aug 20, 2026 17:46:13 EAT   |  Sports

Yanga imeendeleza moto wake mbele ya Coastal Unioni baada ya kuichapa mabao 4-1, na kuishusha Simba kileleni mwa Ligi Kuu Bara ndani ya saa 24.