Yanga yaanza mkakati mpya

YANGA inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tatu za kufungia msimu zikiwamo mbili za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho, huku ikiipoteza Dabi ya Kariakoo lakini mabosi wa klabu hiyo wanaendelea kufanya mambo yao kimya kimya.