Yanga ya moto, Toure, Nzengeli waibeba

Mwanaspoti
Published: Aug 28, 2026 20:03:39 EAT   |  Sports

YANGA imeendelea kukusanya pointi ikishinda mechi ya nne mfululizo katika Ligi Kuu Bara, baada ya leo Agosti 28, 2026 kuichapa Pamba Jiji mabao 2-0.