Yanga ya moto, Toure, Nzengeli waibeba
YANGA imeendelea kukusanya pointi ikishinda mechi ya nne mfululizo katika Ligi Kuu Bara, baada ya leo Agosti 28, 2026 kuichapa Pamba Jiji mabao 2-0.
YANGA imeendelea kukusanya pointi ikishinda mechi ya nne mfululizo katika Ligi Kuu Bara, baada ya leo Agosti 28, 2026 kuichapa Pamba Jiji mabao 2-0.