Uhamiaji FC vinara wa Ligi Kuu Zanzibar
KLABU ya Uhamiaji, imeendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar baada ya jana Jumatano kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fufuni FC, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba.