Uhamiaji FC vinara wa Ligi Kuu Zanzibar

Mwanaspoti
Published: Sep 17, 2026 07:49:03 EAT   |  Sports

KLABU ya Uhamiaji, imeendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar baada ya jana Jumatano kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fufuni FC, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba.