Timu ya Mlandege yatwaa ubingwa Ligi Kuu ZPL

Mwanaspoti
Published: Jun 06, 2025 18:00:47 EAT   |  Sports

Timu ya Mlandege imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar ZPL kwa msimu wa 2024-25 baada ya kuitandika New City mabao 4-2.