Tanzania yang'ara FEÀSSA kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu
Mashindano ya michezo kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) 2026, yamemalizika ambapo Tanzania imeendelea kushika nafasi ya kwanza mara ya tatu mfululizo kwenye michezo kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu.