Tambwe: Singida Black Stars tunataka robo CAF
MENEJA wa Singida Black Stars, Amissi Tambwe, amesema msimu huu wana kiu kubwa zaidi baada ya kuvuka malengo yao msimu uliopita, akifichua safari yao mpya ya kimataifa imeelekezwa moja kwa moja kwenye hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho.