Suluhu Academy kutumika AFCON

Mwanaspoti
Published: Aug 16, 2026 12:29:48 EAT   |  Sports

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema Uwanja wa Suluhu Sports Academy ni miongoni mwa viwanja vitakavyotumika katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.