Suluhu Academy kutumika AFCON
WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Riziki Pembe Juma, amesema Uwanja wa Suluhu Sports Academy ni miongoni mwa viwanja vitakavyotumika katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.