Straika la mabao lasaka rekodi
MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Oscar Mwajanga amesema licha ya kiwango bora anachoendelea kukionyesha na kikosi hicho hadi sasa, ila moja ya malengo yake ni kuhakikisha anaivuka rekodi yake ya mabao ya Ligi Kuu aliyoweka ya msimu wa 2025-2026.