Stars yaanza kibabe Chan 2024, yaichapa Burkina Faso 2-0

TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars, imeanza vyema Fainali za Ubingwa wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani CHAN, baada ya kuichapa Burkina Faso mabao 2-0.
TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars, imeanza vyema Fainali za Ubingwa wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani CHAN, baada ya kuichapa Burkina Faso mabao 2-0.