Sowah kama alivyoanza Simba
MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ameanza maisha yake mapya na kikosi hicho kama ilivyokuwa na Simba, baada ya kuifungia timu hiyo bao moja la Ligi Kuu Bara, katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Fountain Gate.