Sowah kama alivyoanza Simba

Mwanaspoti
Published: Aug 16, 2026 14:19:52 EAT   |  Sports

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ameanza maisha yake mapya na kikosi hicho kama ilivyokuwa na Simba, baada ya kuifungia timu hiyo bao moja la Ligi Kuu Bara, katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Fountain Gate.