Singida Black Stars yafuzu kibabe CAFCC ikishinda 10-1

Mwanaspoti
Published: Sep 13, 2026 15:10:44 EAT   |  Sports

SINGIDA Black Stars imefuzu hatua ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kishindo baada ya kuiondosha Al-Ghazal FC ya Sudan Kusini kwa jumla ya mabao 10-1 katika mechi mbili za raundi ya kwanza.