Simba yaichakaza Mighty Wanderers, yatinga raundi ya pili kibabe

Mwanaspoti
Published: Sep 13, 2026 15:25:43 EAT   |  Sports

SIMBA haina utani. Imefanikiwa kuitafuna Mighty Wanderers kwa ushindi wa mabao 6-1 ikitinga hatua ya pili ya mtoano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.