Simba yaendeleza moto, Coastal bado hakijaeleweka
SIMBA imewashusha watani zao wa jadi, Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa Coastal Union bao 1-0, mechi iliyopigwa usiku wa leo Agosti 27, 2026 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.