Simba yaendelea kuikaba Yanga, Geita ikiendeleza unyonge
USHINDI wa Simba wa mabao 2-0 dhidi ya Geita Gold, umekifanya kikosi hicho kuendelea kuikaba Yanga katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, huku timu hizo zikitofautiana mabao baada ya zote kushinda mechi zao tano mfululizo na kukusanya pointi 15.