Simba ndo zao kimataifa bwana!
DAR ES SALAAM; Simba imetinga hatua ya pili michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi mchezo uliofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo Septemba 13, 2026. Kutokana na ushindi wa leo Simba imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-1, baada ya ushindi …
DAR ES SALAAM; Simba imetinga hatua ya pili michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi mchezo uliofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo Septemba 13, 2026.
Kutokana na ushindi wa leo Simba imesonga mbele kwa jumla ya mabao 7-1, baada ya ushindi wa bao 0-1 mchezo wa kwanza wiki iliyopita nchini Malawi.