Shilingi imesimama, Dodoma Jiji yakataa unyonge mbele ya Simba
MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji, Dodoma Jiji dhidi ya Simba, imemalizika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, huku ikishuhudiwa pambano hilo lililokuwa la kuvutia kutokana na ushindani tangu mwanzoni likiisha kwa suluhu (0-0).