Shikangwa: Tulijua mabeki Yanga ni wazito, watachanganyikiwa

Mwanaspoti
Published: May 15, 2026 19:00:19 EAT   |  General

MFUNGAJI wa mabao mawili kwenye mechi ya dabi ya wanawake, Jentrix Shikangwa wa Simba Queens amesema walijua Yanga ina udhaifu eneo la mabeki na huchanganyikiwa dakika 15 za mwanzo wakipelekewa presha.