Shikangwa: Tulijua mabeki Yanga ni wazito, watachanganyikiwa
MFUNGAJI wa mabao mawili kwenye mechi ya dabi ya wanawake, Jentrix Shikangwa wa Simba Queens amesema walijua Yanga ina udhaifu eneo la mabeki na huchanganyikiwa dakika 15 za mwanzo wakipelekewa presha.