Shalulile na Mudathir waendeleza rekodi ya ushindi
DAKIKA 66 alizocheza Stephane Aziz KI katika mechi yake ya kwanza ya Ligi Kuu Bara tangu arejee Yanga, zimekuwa nzuri upande wake na kuwafanya mashabiki wa timu hiyo wasiwe na dukuduku la kutoa kwani ilikuwa ikisubiriwa atafanya nini.