Shalulile na Mudathir waendeleza rekodi ya ushindi

Mwanaspoti
Published: Aug 31, 2026 15:53:13 EAT   |  Sports

DAKIKA 66 alizocheza Stephane Aziz KI katika mechi yake ya kwanza ya Ligi Kuu Bara tangu arejee Yanga, zimekuwa nzuri upande wake na kuwafanya mashabiki wa timu hiyo wasiwe na dukuduku la kutoa kwani ilikuwa ikisubiriwa atafanya nini.