Serengeti Boys gumzo AFCON
TAKWIMU za fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 (AFCON U17) zinazoendelea huko Morocco, ni uthibitisho wa ubora wa kitimu na mchezaji mmoja ambao timu ya vijana ya Tanzania kwa umri huo ‘Serengeti Boys’ inaonyesha katika mashindano hayo.