Rayvanny aibua shangwe ufunguzi CHAN 2024

Mwanaspoti
Published: Aug 02, 2025 17:22:53 EAT   |  Sports

DAKIKA chache kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina Faso uliofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rayvanny ameibua shangwe kwa mashabiki.