Polisi yatanguliza mguu mmoja Ligi Kuu, ikiirarua Prisons

Mwanaspoti
Published: Jul 12, 2026 15:27:22 EAT   |  General

TIMU ya Polisi Tanzania imetanguliza mguu mmoja kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kuwapiga maafande wa Magereza, Tanzania Prisons kwa mabao 4-0 ikijiweka sehemu nzuri ya kufuzu.