Ninju apelekwa kwa mkopo Polisi Tanzania

Mwanaspoti
Published: Aug 22, 2026 14:05:54 EAT   |  Sports

BEKI kinda wa Yanga, Abubakar Nizar ‘Ninju’, ametolewa kwa mkopo wa msimu mmoja kwenda Polisi Tanzania kwa ajili ya kupata nafasi zaidi ya kucheza na kuendelea kujenga uwezo wake.