Nabi hajataka tamaa, atua tena Simba

Mambo ni moto! Siku chache baada ya nyota wa kimataifa wa Burkina Faso na Yanga, Stephanie Aziz KI kusajiliwa na Wydad Casablanca ya Morocco ni kama amefungua milango kwa mastaa wa Ligi Kuu Bara wanaowindwa na timu mbalimbali nje ya nchi.