Mtibwa Sugar yajipanga kumrejesha Kawemba

Mwanaspoti
Published: Jun 06, 2025 14:34:27 EAT   |  Sports

BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu Bara, mabingwa hao wa zamani wako katika mazungumzo ya kumhitaji Saad Kawemba ashike nafasi ya Mtendaji Mkuu wa klabu ikiamini uzoefu wake utakuwa msaada katika maeneo mbalimbali.