Morocco aanza kwa kishindo TRA United, Pamba Jiji hali tete

Mwanaspoti
Published: Sep 13, 2026 15:04:11 EAT   |  Sports

KOCHA Mkuu wa TRA United, Hemed Suleiman 'Morocco', ameanza vyema kampeni yake ya kukiongoza kikosi hicho, baada ya leo kushinda mabao 3-1 dhidi ya Pamba Jiji, ikiwa ni ushindi wake wa kwanza tangu ajiunge na timu hiyo, Septemba 10, 2026.