Morocco aanza kwa kishindo TRA United, Pamba Jiji hali tete
KOCHA Mkuu wa TRA United, Hemed Suleiman 'Morocco', ameanza vyema kampeni yake ya kukiongoza kikosi hicho, baada ya leo kushinda mabao 3-1 dhidi ya Pamba Jiji, ikiwa ni ushindi wake wa kwanza tangu ajiunge na timu hiyo, Septemba 10, 2026.