Mgosi aipongeza Yanga, akiichapa Dar

Mwanaspoti
Published: May 15, 2026 19:08:30 EAT   |  General

KAIMU Kocha wa Simba Queens, Mussa Hassan 'Mgosi' amesema walijidhatiti tangu msimu uliopita na walifanya tathmini wapi wamekosa na wakarekebisha kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Bara.