Mchora katuni Mwananchi King Kinya afariki dunia
MFANYAKAZI wa Idara ya Habari ya kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Kinyagulo Tuzo maarufu kama King Kinya, amefariki dunia leo, Septemba 17, 2026 baada ya kuugua kwa kipindi kifupi.