Mchora katuni Mwananchi King Kinya afariki dunia

Mwanaspoti
Published: Sep 17, 2026 07:09:16 EAT   |  Sports

MFANYAKAZI wa Idara ya Habari ya kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), Kinyagulo Tuzo maarufu kama King Kinya, amefariki dunia leo, Septemba 17, 2026 baada ya kuugua kwa kipindi kifupi.