Mbeya City yafuta gundu Sokoine ikiitibulia rekodi Bandari

Mwanaspoti
Published: Mar 08, 2026 15:45:50 EAT   |  Sports

Pamoja na kufuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, Mbeya City imefuta gundu katika Uwanja wa Sokoine kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bandari FC inayoshiriki First League.