Laizer alia na kiungo Fountain Gate

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema huu ni mwanzo mzuri kwa timu hiyo kupata ushindi nyumbani, licha ya kuwa kikosi hicho bado kuna maeneo yanavuja ikiwemo nafasi ya kiungo.
KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema huu ni mwanzo mzuri kwa timu hiyo kupata ushindi nyumbani, licha ya kuwa kikosi hicho bado kuna maeneo yanavuja ikiwemo nafasi ya kiungo.