KVZ bingwa Ngao ya Jamii Zanzibar ikiichapa KMKM

Mwanaspoti
Published: Aug 23, 2026 16:43:31 EAT   |  Sports

TIMU ya KVZ, imeibuka bingwa wa Ngao ya Jamii Zanzibar kwa kuifunga KMKM penalti 8-7 baada ya dakika 90 kumalizika timu hizo kufungana mabao 2-2.