KVZ bingwa Ngao ya Jamii Zanzibar ikiichapa KMKM
TIMU ya KVZ, imeibuka bingwa wa Ngao ya Jamii Zanzibar kwa kuifunga KMKM penalti 8-7 baada ya dakika 90 kumalizika timu hizo kufungana mabao 2-2.
TIMU ya KVZ, imeibuka bingwa wa Ngao ya Jamii Zanzibar kwa kuifunga KMKM penalti 8-7 baada ya dakika 90 kumalizika timu hizo kufungana mabao 2-2.