Kuvunja mkataba wa Mbongo Ureno bilioni 200

Mwanaspoti
Published: Aug 16, 2026 12:23:55 EAT   |  Sports

KOCHA wa Sporting CP ya Ureno, Rui Borges amesema mshambuliaji wa zamani wa Bayern Munich, Nestory Irankunda aliyezaliwa Tanzania yupo nchini humo kukamilisha dili la kujiunga na timu hiyo.