Kocha TRA United aanza mkwara

Mwanaspoti
Published: Sep 14, 2026 14:39:11 EAT   |  Sports

PAMOJA na kuanza kwa ushindi mnono wa mabao 3-1, Kocha Mkuu wa TRA United, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema bado timu hiyo inahitaji maboresho kuhakikisha anatengeneza muunganiko bora kikosini na kuwa tishio Ligi Kuu.