Kocha TRA United aanza mkwara
PAMOJA na kuanza kwa ushindi mnono wa mabao 3-1, Kocha Mkuu wa TRA United, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amesema bado timu hiyo inahitaji maboresho kuhakikisha anatengeneza muunganiko bora kikosini na kuwa tishio Ligi Kuu.