Kocha Songea United akiri ugumu wa 'Top Four' Championship
KOCHA Mkuu wa Songea United ya mkoani Ruvuma, Juma Masoud amesema katika mechi sita za timu hiyo zilizobaki kumalizia msimu huu, ni za kuweka pia heshima kwa sababu ni ngumu kwa kikosi hicho kumaliza nafasi nne za juu.