Kocha mpya Yanga ashuhudia mavitu ya Mzize Stars

Mwanaspoti
Published: Aug 02, 2025 19:08:42 EAT   |  Sports

KOCHA mpya wa Yanga, Romain Folz ni miongoni mwa watu waliofika katika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mchezo wa ufunguzi kati ya Tanzania na Burkina Faso katika ufunguzi wa mashindano ya CHAN.