Kipigo cha Kagera Sugar chamuachia maumivu Kaseja
Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amesema ameumizwa na kipigo cha mabao 6-2, ilichokipata timu yake dhidi ya Geita Gold, lakini akaahidi kurejea mazoezini kutafuta tiba ya upungufu wa kikosi chake.