Khaleed Aucho atua Ethiopia

Mwanaspoti
Published: Aug 15, 2026 13:52:14 EAT   |  Sports

ALIYEKUWA kiungo wa Singida Black Stars, Mganda Khalid Aucho amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Sidama Bunna FC ya Ethiopia, baada ya kushindwa kufikia makubaliano na Kenya Police FC na AFC Leopards zote za Kenya zilizomuhitaji awali.