Katwila aanza majigambo

Mwanaspoti
Published: Aug 29, 2026 14:58:01 EAT   |  Sports

BAADA ya kupata pointi nne katika mechi mbili za nyumbani, Kocha Mkuu wa Geita Gold, Zubery Kat-wila amesema malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kuhakikisha Uwanja wa Bukombe unakuwa ni mwiba mkali kwa wapinzani wote watakaoenda kucheza nao.