Kassano aondoka Singida BS, Kidawawa amrithi

Mwanaspoti
Published: Sep 13, 2026 19:37:31 EAT   |  Sports

SINGIDA Black Stars imeanza ukurasa mpya wa uongozi baada ya Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Kassano Jonathan, kuwasilisha ombi la kujiuzulu nafasi yake, huku Tabitha Kidawawa akichukua nafasi yake.