Karate yamlilia Sensei Chikoko

Mwanaspoti
Published: Aug 31, 2026 17:29:55 EAT   |  Sports

FAMILIA ya mchezo wa Karate nchini Tanzania, imeingiwa na simanzi kufuatia kifo cha mmoja wa walimu na viongozi wakongwe wa mchezo huo, Sensei Philip Kolowa Chikoko, aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo Agosti 31, 2026 nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.